Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?

Nafikiri inawezekana kabisa wewe ndiyo ukawa na matatizo ktk uwezo wako wa kufikiri. Unataka kukimbia ukweli.

Rosemarie amejaribu kujitathmini akagundua mapungufu, anatafuta msaada ili awe bora. Kuonyesha uwezo wake kufikiri ulivyojuu ametambua kuwa kiini cha mapungufu ni namna anavyofikiri; hakusema ni kwasababu hana kitu fulani. Perfect evaluation. Huwezi kufanya kwa ubora hata kama tukikupa kila kitu lakini uwezo wako wa kufikiri ukiwa chini.
Amefanya kazi na wazungu akaiona tofauti aliyoandika. Ni mkweli. Hujamjibu umemshambulia kwa kushuku uwezo wake wa kufikiri. Si vema.

Kiukweli Rosemarie, unaweza ukafikiri sahihi kwa kiwango kikubwa kupita wanaume wa umri wako. Tena unakufikiri kupita wazungu. Ngoja tusubiri inputs za Invisible. Lakini nitachangia machache: ya kuwa vikwazo vingi vipo ktk namna tunavyolelewa na vingine vipo ndani yetu. Katika malezi tunayolelewa/tuliyolelewa
1. Hayatufundishi kuthubutu bali woga
2. Hayatufundishi kujiamini bali kuwa tegemezi
3. Hayatufundishi kuona kosa ni fursa ya kujifunza bali ndiyo mwisho (kushindwa)
4. Hayatufundishi kuitambua na kuithamini kazi ndogo/mafanikio madogo kuwa ni mtaji wa kutuchochea kufanya makubwa.
5. Hutufundisha kuona kufanya kazi kuwa ni utumwa wakati kazi ni utoshelevu wa maisha ya mwanadamu.
6. Hutufundisha kuona kuwa sisi hatuwezi ila wao/yeye anaweza, na wakati kuwa hata yeye hawezi kamwe.
Orodha ni ndefu.

Wengi wa wazungu tunaowaona kuwa ni bora ni kwasababu ya uzoefu, exposure, uthubutu na kujiamini. Ukifanyakazi hata na mtanzania aliyekuzidi katika eneo lolote ktk hayo mengine mko sawa mara zote utamwona bora .

Nitarudi.

Unaweza ukawa umejaaliwa uwezo wa KUSOMA MANENO, lakini KUELEWA HABARI ikawa kwako ni tatizo:
Umerudia kosa lilelile, unaweza kunifafanulia maana ya MZUNGU? naona umelitumia neno hilo mara kadhaa kwa kujiamini kabisa.
 
Unaweza ukawa umejaaliwa uwezo wa KUSOMA MANENO, lakini KUELEWA HABARI ikawa kwako ni tatizo:
Umerudia kosa lilelile, unaweza kunifafanulia maana ya MZUNGU? naona umelitumia neno hilo mara kadhaa kwa kujiamini kabisa.

Kwa kifupi wazungu ni watu weupe wenye asili ya bara la Ulaya (matupinkele).

nimelitumia neno hili nikiwa katika kuijibu/kuikanusha hoja yako na katika kumsaidia Rosemarie.

Hebu tuliangalie hili:
"Invisible mimi ni 37 na ni mwanamke,uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa mwanaume mwenye age yangu?halafu kwa nini wazungu uwezo wao uko juu sana,naongea hili kwa sababu nimefanya nao kazi na nimeona mwenyewe jinsi walivyo na uwezo mkubwa!!!!" Kumbuka luwa wewe ulim-challenge kwa vile alivyouliza "kwanini wazungu uwezo wao uko juu sana?" ulipoona neno wazungu likakutibua lakini sina uhakika kama ulisoma vizuri nini alichoandika mbeleni.

Ukisoma hapo utagundua kuna hoja mbili mpya zimeibika pamoja na ile ya kwanza zinakuwa 3. Lakini mbili zikiitegema ile ya kwanza
(1) Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?
(2) Uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa wanaume wa rika langu?
(3) Kwanini uwezo wa wazungu uko juu sana? .......kuliko wa nani.....mimi sijui, ila nafikiri aliulinganisha na wake, ndiyo maana akaelezea alivyowaona lipokuwa anafanya kazi nao.

Sasa rudia kusoma maelezo yangu, halafu angalia muktadha ambapo neno wazungu nimelitumia kama halipo kwenye kuyajibu maswali ya mtoa mada, nawala si kuitukuza jamii ya watu hao.
Waweza sema nimelitumia "wazungu" kwa kujiamini lakini malengo yangu yalikuwa ni kuona namna ninavyoweza toa majibu sahihi.

Karibu tena!!
 
Kwa kifupi wazungu ni watu weupe wenye asili ya bara la Ulaya (matupinkele).

nimelitumia neno hili nikiwa katika kuijibu/kuikanusha hoja yako na katika kumsaidia Rosemarie.

............................

Labda kuongezea tu,
Neno Mzungu limetokana na neno Mzungukaji (Explorer/A person wandering about). Naamini tunafahamu jinsi wazungu akina Vasco da Gama, Ferdinand Magellan, Captain Cook, H. M. Stanley etc walivyokuwa wanachanja mbuga. Dhana hii ya Exploration/Movement ndiyo ilileta neno Mzungu. Hapa nazungumzia "neno" na si "nani."

Bado tuna kazi ya kujibu thread ya Rosemarie.
 
invisible mimi ni 37 na ni mwanamke,uwezo wangu wa kuwaza unaweza kuwa sawa na wa mwanaume mwenye age yangu?halafu kwa nini wazungu uwezo wao uko juu sana,naongea hili kwa sababu nimefanya nao kazi na nimeona mwenyewe jinsi walivyo na uwezo mkubwa!!!!


Uwezo wenu wote upo sawa walichokushinda ni confidence na exposure. Jaribu kujiona unaweza zaidi yao na hilo utaliweza kwa kujisomea vitu vingi na kuvitafakari
 
I believe this will help:


kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
A good diet improves your health, but also boosts your energy. Create a shopping list of these must-have endurance foods recommended by Dr. Mike Moreno, author of The 17 Day Diet: A Doctor’s Plan Designed for Rapid Results.
1. Beef, extra lean: High in iron, a mineral that improves memory, alertness and attention span.

2. Beets: Contains phenylalanine, an amino acid that helps relay signals from one brain cell to another.

3. Blueberries: Excellent source of antioxidants and “anthocyanins,” compounds thought to help protect brain cells from toxins, improves use of glucose in the brain, and promotes communication between brain cells.

4. Broccoli: Packed with antioxidants and phytonutrients that help protect brain tissue from toxins.

5. Carrots: High in beta carotene and other natural substances that help protect brain tissue from toxins.

6. Chicken: High in tyrosine, an amino acid required for the production of the alertness chemicals dopamine, epinephrine and norepinephrine. When your brain is producing these, you think and react more quickly, and feel more motivated, attentive and mentally energetic.

7. Citrus fruits: Contain vitamin C and other antioxidants that help maintain sharp memory and help brain cells resist damage.

8. Edamame: Contains phenylalanine, an amino acid that helps relay signals from one brain cell to another.

9. Eggs: High in the B vitamin choline, which helps with memory.

10. Egg whites: High in protein, which can improve alertness by increasing levels of norepinephrine, which helps keep your brain at its sharpest.

11. Hot chilies: Contains the fiery-tasting chemical capsaicin. Capsaicin stimulates circulation, aids digestion, opens your nasal passages and, even better, sends a feeling of euphoria straight to your brain.

12. Legumes: Provide glucose to fuel the brain, and the fiber they contain slows the absorption of glucose, helping to maintain stable levels of energy and support alertness and concentration overtime.

13. Pork: Loaded with vitamin B1, which protects myelin, a fatty substance that helps facilitate communication among cells.

14. Romaine lettuce: High in folate, a B vitamin important for memory and nerve cell health.

15. Spinach: Packed with iron, which is involved memory, concentration, and mental functioning.

16. Tuna: Full of omega-3 fatty acids, which help build and maintain myelin.

17. Yogurt: A probiotic food that has been found in many studies to boost mental alertness.
 
Naomba kuchangia kama ifuatavyo.

Kuna taarifa niliwahi kuisikia mahali fulani miaka mingi ya nyuma na bado naendelea kuikumbuka mpaka leo. Ni kwamba chakula cha ngano ambayo haijakobolewa kama ilivyokuwa tunapikiwa mashuleni miaka ya sitini kilikuwa kinamfanya mwanafunzi akili zake zinakuwa na uwezo mkubwa ajabu! Ukiangalia nchi ambazo vyakula vya ngano ndiyo vikuu kuna cha kujifunza na maswali ya kujiuliza je ni hiyo ngano wanayokula?

Baada ya kufuta ulaji wa ngano ya kupika mashuleni miaka hiyo wakasema hali ya uelewa wa wanafunzi ulishuka sana! Sina takwimu. Wakaongezea kueleza vyakula ambavyo havijakobolewa haswa ngano ndiyo vya kuzingatiwa sana vinasaidia ubongo kuchemka!

Naomba kusahihishwa.
 
UNAWEZA KUBORESHA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI NA WA AKILI KWA UJUMLA, ILI UELEWE VIZURI TAFADHALI TAFUTA KITABU Life: How did it come here, by evolution or by creation? published by watchtower society
 
Kama ubongo wako bado unakua (hujafikisha miaka 45) basi unaweza kujiongezea uwezo wa kufikiri kwa kufikiria mambo mazito mara kwa mara. Ni kama ambavyo unaweza kujiongezea misuli ya mikono kwa kubeba mizigo mzito mara kwa mara.

Kwanza, angalia jambo lolote halafu uanze kujiuliza kwa nini liko vile, na kama lisingekuwa vile lingekuwaje, jiulize mapungufu yaliyopo katika jambo hilo halafu uainishe ni kosa gani lilifanywa na waliotangulia kusababisha mapungufu hayo.

The deeper you think, the more you want to think more, na uwezo wako wa kufikiri utaongezeka
 
1. kwanza elewa umezaliwa ukiwa mtupu

2. pili elewa you're not wrong its just that rules have already been established through out history (what is wrong, wright, what to believe, values and culture kwa hiyo kwa kuzaliwa tu kwenye familia fulani ya dini fulani na utamaduni fulani your mind is already corrupted through socialization),

3. elewa the survival tactic of the society (economic approach) how does it work. You need to peruse economic books to make your own judgements on life and your society (remember dont go looking for foolish 'dambisas' just basics first, understand how economic decisions are made scientifically).

4. Who are you and who are the people around you need to get Vygotsky readings and understand socialization then finish with anything that talks about interpretion of meanings (cultures, rituals, human beings as social creatures, formation of societies and how they work) finish by understanding modern politics.

5. then pick a subject (to master) and understand it; for that you need to be clever, creative, open minded, argumentative based on rational reasoning and give scientific arguments (be able to prove your arguments based on facts)

6. build up a habit of reading and understand how to argue if you dont know how to build arguments find O'level and A'level european exam preparation books (trust me elimu ya ulaya inaishia hapo chuo ni ku argue, based on A'level and O'level taught lines of reasoning of course at higher level they demand terminologies)

7. From there on you can pick any subject and you're an expert (rember some subject require a strong foundation such as medicine and hard sciences), but then dont try me on psychology or social antropology I managed to embarass the best in the word fact.
 
Mimi najua kama unataka kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri nakushauri ufanye yafuatayo ndugu:

1.kuwa vegeterian
2.acha aina zote za vilevi
3.fanya mazoezi ya viungo kwenye maeneo yenye hewa safi.
4.soma majarida mbalimbali yenye kujenga ufahamu mpya.
5.fanya meditation kwa mpangilio maalum .
6.kama utaweza jaribu kuongezea yoga kidogo kupata matokeo mazuri

Haya sasa kazi ni kwako mpendwa
 
Omega 3 ni Nutrient moja inasaida KUCHECHEMUA ubongo....Ulizia kwenye maduka ya madawa (siyo baridi) hasa wale wanaouza pia VIRUTUBISHO (nutrients)
 
Labda kuongezea tu,
Neno Mzungu limetokana na neno Mzungukaji (Explorer/A person wandering about). Naamini tunafahamu jinsi wazungu akina Vasco da Gama, Ferdinand Magellan, Captain Cook, H. M. Stanley etc walivyokuwa wanachanja mbuga. Dhana hii ya Exploration/Movement ndiyo ilileta neno Mzungu. Hapa nazungumzia "neno" na si "nani."

Bado tuna kazi ya kujibu thread ya Rosemarie.


Raisi wetu JK ni MZUNGUkaji sana.
Ina maana JK nae ni mzungu?? maana ameshazunguka karibu dunia nzima mara mbili kama sikosei na bado ziara zinaendelea hadi 2015.

Mada ni nzuri na michango iliyotolewa.
 
kuna uwezekano wa binadamu kuongeza uwezo wake wa kufikiri,pls help
Yes U can, unatakiwa upate course ya critical thinking and argumentation, hii itakufunza mengi sana na itaongeza uwezo wako wa kufikiri!
 
Iko hivi, binadamu anauwezo wa kuongeza kufikiri kwa mfano uwezo wa mtu anayesoma vitabu vingi na asiyesoma ni tofauti,jifunze bila kikomo itapanua uwezo wa kufikiri pia jitahidi kutengeneza hoja za kwako mwenyewe wakati wa majadiliano na jifunze kuzitetea.
 
Iko hivi, binadamu anauwezo wa kuongeza kufikiri kwa mfano uwezo wa mtu anayesoma vitabu vingi na asiyesoma ni tofauti,jifunze bila kikomo itapanua uwezo wa kufikiri pia jitahidi kutengeneza hoja za kwako mwenyewe wakati wa majadiliano na jifunze kuzitetea.

thank you mnyaki
 
kuna hizi brain games zinaitwa lumosity - jaribu kugoogle. Zinasaidia kuimprove uwezo wako wa kufikiri na kuwa attentive
 
Kuna dawa ya mchanganyo wa matunda mbalimbali inaitwa brain activator kamuone dr ndodi
 
Back
Top Bottom