Wanajamii naomba msaada kama kuna njia yeyote ya kufanya kama ninatumia recever ya MEDIA COM kupata channel zaidi
hujaeleza unatumia dish la ukubwa gani na unapendelea channel gani ungefunguka uwe wazi utarahisisha zaidi kupata msaada.
unataka upate chanel zipi sasa kuwa wazi ili upate msaada,binafsi natumia mediacom na nina zaidi ya chanel 600 zote ni FTA
unataka upate chanel zipi sasa kuwa wazi ili upate msaada,binafsi natumia mediacom na nina zaidi ya chanel 600 zote ni FTA
nina madish mawili kubwa la wavu ft8 kwa ajili ya chanel za ndani,citizen tv, aljazeera,cctv nk, na dish dogo la ku linashika chanel zoooote za kiarab,nimelielekeza magharibi.chanel za michezo zipo pia