Naweza kujua elimu ya mtu kupitia post zake?

na hawa vipi elimu zao'figganiga'kongosho'lizzy'sweetlady'
Director1 na rev masanilo?naombeni mnisaidie
 
na hawa vipi elimu zao'figganiga'kongosho'lizzy'sweetlady'
Director1 na rev masanilo?naombeni mnisaidie

figganiga, rev masanilo na Director1 hao wana elimu ya juu wamebobea haswa! Lakini Lizzy, sweetlady na kongosho wenyewe wamekalia mapenzi na mahusiano tu...
 
naona watu wameanza kujieleza kuh viwango vyao vya elimu, I thought hoja ilikuwa kama anaweza kutambua elimu ya mtu kupitia post zake, kwa upande wangu nasema unaweza kkutambua kiwango cha uelewa wa mtu kupitia post zake, ila kwa kujua kiwango cha elimu sina hakika kwa sababu elimu na uelewa/ufahamu ni vitu tofauti ingawa kuna ukweli mkubwa kwamba elimu humsaidia mtu/ kumuongezea / kupanua ufahamu wa mtu na mara nyingi waliopata elimu ya darasani huwa na uelewa mpana kulinganisha na wasiopata nafasi hiyo. vpi unataka kuwatumia katika shughuli zako au???

Tumempunguzia kazi kupitia hizohizo post tunamueleza Ilmu zetu.
 
ni vigumu kumtambuwa,kwani kila post member atachangia kulingana na jinsi anavyojisikia na jinsi pia post alivyoielewa,kupitia post ni vigumu kuelewa kiwango cha elimu ya mtu
lakini pia inategemea na wewe utakae jaji elimu ya mtu,yawezekana utakuwa na vigezo vyako ambavyo vinaweza kukupa majibu sahihi ama ukapotea kabisaaaaaa
 
mkuu wa chuo ulikuwa hujui lizzy na kongosho ni ma mods?wanafanya kazi idara ya mmu
 
naona watu wameanza kujieleza kuh viwango vyao vya elimu, I thought hoja ilikuwa kama anaweza kutambua elimu ya mtu kupitia post zake, kwa upande wangu nasema unaweza kkutambua kiwango cha uelewa wa mtu kupitia post zake, ila kwa kujua kiwango cha elimu sina hakika kwa sababu elimu na uelewa/ufahamu ni vitu tofauti ingawa kuna ukweli mkubwa kwamba elimu humsaidia mtu/ kumuongezea / kupanua ufahamu wa mtu na mara nyingi waliopata elimu ya darasani huwa na uelewa mpana kulinganisha na wasiopata nafasi hiyo. vpi unataka kuwatumia katika shughuli zako au???

Ahaaa....kwakuwa issue hapa ni Utambuzi wa Elimu kupitia mchango wa mtu, ngoja nianze kwa kuchapa kidhungu:

''To familiarize is to find the facts, going to school only helps us, though we cannot go to school but we may familiarize'' sio maneno yangu hayo ni Mwl. JK. nyerere.

by the way I'm CPE holder (Certificate of Primary Education)
Karibu na wewe tukusome japo kwa harakaharaka, unaonyesha hauna confidence hivyo Elimu yako ni ya utata ''shule za Kata'' au boarding isiyo na walimu wala vifaa esp. Library!

Katika jambo lolote ili ufanikiwe unatakiwe usikose moja wapo kati ya hizi C tatu: Confidence, Cash and Creativity
 
Back
Top Bottom