Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Kwa nini??
Hvi umalaya bongo umehalalishwa au?
Hvi umalaya bongo umehalalishwa au?
This means kamwe usiolewe na mwanaume asiye na pesa?(usije nuka kwa kukosa hela ya pedi )Miaka 29 lakn bado hujitambui, unaendeshwa na uchi wako inamaana akili yako imeshindwa kufikiria na kung'ambua badala yake uchi ndio unakufanyia maamuzi.
Umezaa watoto wawili hivi unafikir huyo kinda wako atakuwa tayar kuwalea hao wanao? Huyo anakutaman kwakuwa amekuona waluwalu na pia hana uwezo wa kutafuta mwanamke na kumpa huduma zete hvyo anakutaka ww kwakuwa anajua unachuna kwa mzee.
Nakuambia achika uje uone uchungu na shida za dunia hapo ndio utakuja kujua kuwa maisha ni zaidi ya kugegedana. Ipo siku utakosa hata hela ya kununulia pedi huku unatoa harufu na hutafurahia gegedo la huyo kida wako hapo ndio majuto atakuja kuwa mjukuu wako
Mmmhbona yule alosema "bora dildo" kuliko kuchepuka nae mlimshambulia hatari, mbona kama hamueleweki hivi!!Dada tumia dildo
Usichepuke
Plz
hahahaa mkuu pesa ndio kila kitu hasa kwa maisha haya.This means kamwe usiolewe na mwanaume asiye na pesa?(usije nuka kwa kukosa hela ya pedi )
Nilikuwa natafuta comment yako kuhusu mada hii maana najua mada za hivi zinavyokuchefuaga.
Ulivosema financially hayupo vizuri nikajua hadi anavaa kiatu kilichoisha soliLabda nikwambie tu boyfriend kanizd 4yrs cjawahi kumpa hata 100 na haniombagi na hata akija mkoa nliopo ataweka hadi mafuta kwny gari..hana hela khvyo lakn ni mtu anayejito kwa kidogo tangu zamani
Ila ndio najuta nliona akinioa ntachelewa kuuona utajiri
Ungecoment kwa lugha nzuri ungeeleweka Mkuu..asante lakin
Hapo umalaya upo wap? Pumbavu weweHvi umalaya bongo umehalalishwa au?