Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
kumbe na wewe umeliona eeh?mmmmh lema bana mmmh sisemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe na wewe umeliona eeh?mmmmh lema bana mmmh sisemi
hv jamani kuna ubaya mtu akiweka picha yake ya ukweli ? tuwe real jamani mimi naweka kwenye profile yangu leo sidaiwi na mtu wala simuogopi mtunimechoka kuishi kifekifeki ila mkiniona msishtuke jinsia ndo iyo iyo
wewe ni mpretty sana...kama ndio wewe kweli!!!!!......Mie mbona ya ukweli na maisha yanaendelea.
savannah ya quality au ya hapo benjamini mkapa? nipo TA kwa sasa ma dia...w.end naruka H! hii ratiba umeisahau?upo wapi mpenzi nipitie hapa savana
ahahaaa wabaya wako huku wakikusikia watajinyongaila naona nape anajali vijana wakengoja nije nichukue kadi na mimi
.....Huyo ndio mimi, kama FB tunaweka picha zetu za ukweli, why JF kwenye mada za kujenga na kutuelemisha?wewe ni mpretty sana...kama ndio wewe kweli!!!!!
Sasa sie ambao tukipita hospital watoto wanalia tufanyeje? Mbona mwataka kutunyanyapaa na sura zenu?
Nikiweka yangu lazima jf i-crash kwa mwezi mzima, nishikilieni kabla sijaamua kuiweka.
upo wapi mpenzi nipitie hapa savana
Smile anapenda vikongwe...hujaona sredi yake? yaani ni full kutaapreciate!! Niachie mkongwe nijifaidie!!!!umeshanitosa tena unarudi kwa Rejao, please Smile Rejao ni kikongwe njoo kwangu
Hongera sana.
Lakini isije kuwa kama ya yule Mbunge wetu ambae kaweka picha ya ukweli lakini nywele si za ukweli, za bandia.
you will be granted for everything you ask in my name!hehe nikisema utanisaidia?
you will be granted for everything you ask in my name!
fine...am waiting kabakabana.hehe thanx wilbald
fine...am waiting kabakabana.
nshaweka tayari picha yangu ya ukweli.manake katiba inanilinda kwa hiyo wenzangu nawashauri wekeni zenu pia.