Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Wadau mi nipo mwanza na nimemaliza chuo kikuu mwaka huu na B.A in Public Relations and Marketing, je kwa hapa mwanza au kanda ya ziwa ni biashara gani inaweza kunitoa, mtaji wangu hauzidi laki 5. Msaada tafadhari.