Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Nawaza kama UKIMWI usingekuwepo watu wangefanya ngono kama hayawani. Manake kama hivi tu na huu UKIMWI watu wanakua na wapenzi wengi, ingekuaje kama usingekuwepo?
!!
Hebu tubadili tabia na mienendo yetu, tuzishike amri za Mungu..
!!
Hebu tubadili tabia na mienendo yetu, tuzishike amri za Mungu..