Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
hii ni siasa tu
Tanzania haipo sawa na Egypt wala Libya
kama wanasiasa wameshindwa kutoa shinikizo kwa watala
madaktari wasitumike kufanya siasa huku 'watu wasiokuwa na hatia' wanakufa...
serikali iliyopo ni kama viziwi
walijaribu chama cha wafanyakazi na wakazimwa.....
kilichopo sasa ni kujaribu kutoa maji kwenye jiwe while wasio husika ndo watakufa.....
tunajidanganya mno na kuiga Misri na Egypt.....ukweli sisi bado saana.....
wamefukuzwa wanafunzi chuo kikuu hakuna mwanasiasa aliekwenda kuwasaidia.....
tusiwaponze hawa madaktari
utawala huu unahitaji 'political interverntion...na sio madaktari'
The Boss,
Pamoja na ukweli kwamba watu wasio na hatia wanateseka na kuumia sana, inasikitisha kuona watekelezaji wa huduma za afya wanachukuliwa kirahisi rahisi tu kama hawana mpango. Hii ni moja ya professional lulu, sio Tanzania tu, bali ulimwenguni kote. Tunajidanganya kuwafanya kama si lolote si chochote kwasababu ya kupanda ndege haraka haraka kwenda India.
By the way, Nchi hii mtu anayeonekana wa maana ni nani? Au wote tukajazane foreign affairs na ikulu, maana pengine those are the areas given the required attention.
Kama tunawanyanyapaa hapa, watatukimbia....ndio yale yale ya kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa. Akishajua kunyoa anaenda kufungua saloon yake mbele ya safari.