Nawatilia shaka kurugenzi ya mawasiliano ikulu na Jk

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Hili la kuwaambia mawaziri 'huu ni upepo unaopita' ivyo wasing'atuke na baadaye kurugenzi kusema rais kikwete hajasema inanipa shida kuamini kanusho lenyewe kwani si mara ya kwanza.KUMBUKA JAIRO ALIVYOMREJESHA ikulu ikakana baada ya nchi kutaharuki.SUALA LA POSHO ZA WABUNGE kurugenzi ikakana kuwa rais hajakubali baada ya Spika na waziri mkuu kuwaarifu wabunge kuwa rais kakubali.Nimegundua kuwa Jk huwa anaangalia upepo ndo maana aliyoyasema hukanushwa ikitokea malalamiko.NA HAYA YANASABABISHWA NA KUTOJIAMINI.kuwa msaidizi wa kikwete yahitaji uwe mlevi wa VIROBA kila dakika.
 
Back
Top Bottom