Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
- Thread starter
- #21
hahhaha naomba nisiwepo kwa sababu kuna alfabeti ukizifikia itakuwa ni kiama . hahahaWikiendi hii nitalia kweli kwa ajili ya mazambi yangu, Yaani nimeikamia sana kurudi kwa Mungu, nitataja mazambi yangu yote hazarani tena kwa mpangilio wa kialfabeti.