Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Ndungu zangu, wajukuu, marafiki zangu wakubwa, wadogo zangu, kaka zangu, shemeji zangu na wooote wenye mapenzi mema.....waliopotea na waliopo...Bwana asifiwe sana, asalaam aleikum!!!
Naomba nikuchukukue nafasi hii (kwa ruhusa ya wadau wa familia yangu) kuwatakia heri ya siku kuu ya Noeli kwa wale watakaoisherehekea na maandalizi, na hatimaye siku kuu njema ya mwaka mpya wa 2011.
Naomba mzingatie na kuhangaikia vitu vitatu tu katika kipindi hiki..navyo ni furaha, raha na amani. Usimkwaze mwenzio, jirani yako na wala mjakazi wako.
Mungu awabariki sana, tutaonana baada ya siku kuu...Inshallah!!!!!
Babu DC...1947.
Naomba nikuchukukue nafasi hii (kwa ruhusa ya wadau wa familia yangu) kuwatakia heri ya siku kuu ya Noeli kwa wale watakaoisherehekea na maandalizi, na hatimaye siku kuu njema ya mwaka mpya wa 2011.
Naomba mzingatie na kuhangaikia vitu vitatu tu katika kipindi hiki..navyo ni furaha, raha na amani. Usimkwaze mwenzio, jirani yako na wala mjakazi wako.
Mungu awabariki sana, tutaonana baada ya siku kuu...Inshallah!!!!!
Babu DC...1947.