Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,488
- 86,003
Haya kesho ndg zetu watakua wanasherehekea kuzaliwa kwa Mtume SAW. Ninawatakia sikukuu njema ila ombi langu kwenu, kesho viongozi wenu wajitahidi kutoa speech zenye mwelekeo wa nchi na sio kulalamika kuwa wanaonewa na kumfagilia jamaa, wajaribu kuwa realistic.
Nawatakia sikukuu njema tena
Nawatakia sikukuu njema tena