Wapo wanatumia id nyingine inawezeka ata wewe ni mmoja kati ya hao mapacha 3
excellent kaenda kuoa huko kwao Lindi harusi inafanyika week end hii Alishikwa ugoni ikabid aozeshwe kwa lazima
hlafu nimekumissukibahatika kuwaona nsalimie sn Excellent
wazee waliniwekea wakati mgumuexcellent kaenda kuoa huko kwao Lindi harusi inafanyika week end hii Alishikwa ugoni ikabid aozeshwe kwa lazima
nimewatoroka aiseeDah.......Sir/Madam pole sana, vipi haijegueka shubiri? mana ndoa nyingi za mkeka huwa hazichelewi ati. Karibu tena.
teh teh teh usijali mana nilivyotoroka nilikuwa namwaza TaiJikeHahahahaaaa.........subiri wakufute na Manumba, ntakusaidia kafaini kadogo.
Jaribu kuwaPM.[/QUOTE
mmmmmhhhhh!!!!!!!!!!!!!!
mmmmmmhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!1hehehehe! Huyo wa mwisho sijawahi muona humu. Nae ni member?
Shikamoo.mmmmmmhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!1