Mimi ni Mbunge na sasa nimeamua kuwa mwanachama wa jf kwa mark hii mnayoiona , nafikiri jambo la msingi leo ni salamu nakuwapongeza wote wanaoshiriki katika mijadala mbali Mbali . Nitatangaza jina langu halisi baada ya siku chache ,
Kama ni mbunge ni mwakilishi wa wananchi,inakuwaje unajficha ficha?Acha sound.Mimi ni Mbunge na sasa nimeamua kuwa mwanachama wa jf kwa mark hii mnayoiona , nafikiri jambo la msingi leo ni salamu nakuwapongeza wote wanaoshiriki katika mijadala mbali Mbali . Nitatangaza jina langu halisi baada ya siku chache ,
karibu sana mh machaliMimi sio gamba
Mimi ni Mbunge na sasa nimeamua kuwa mwanachama wa jf kwa mark hii mnayoiona , nafikiri jambo la msingi leo ni salamu nakuwapongeza wote wanaoshiriki katika mijadala mbali Mbali . Nitatangaza jina langu halisi baada ya siku chache ,
HAHAHAHAAAA sawa mkuuTunashukuru Samwel Sitta.
Hapa hatujali we ni gamba au nini....tutakujua kwa matendo na uwepo wa magamba ndo tunapata changamotoMimi sio gamba