Nawapongeza akina dada na kina mama kwa moyo

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,949
4,444
Napenda kuwapongeza akina dada na kina mama kwa moyo wenu wa uvumilivu katika Jahazi la mahaba kwa kuwa na mioyo yenu ya kusamehe na kupiga moyo konde ndio maana mahusiano mengi yanayumba lakini mnayaokoa tena Jahazi lisizame.
Wiki mbili zilizo pita nilishuhudia dada mmoja aitwae Aika akidundwa na Buzi wake kwa kile kilicho tokea kutopokea cmu ya X boyfriend wake, alikuwa anapigiwa cmu wkt jamaa ana download mjengo ikamlazimu akatishe kudownload na kumlazimu Aika apokee cmu lakini alikataa ikabidi buzi lipokee kupokea yule X boyfriend ikamlazimu akate cmu akapiga tena Buzi likamwamulu apokee Aika alikataa kata kata jamaa akaanza kumshushia mvua ya makonde mpaka Aika akazimia sisi kama wasamaria wema tukajitolea kwenda kumtibia Hospitali huku tukiamini Aika atamdiss yule Buzi alipigwa drip kadhaa na alikaa karibia siku 4 hatoki njee kipigo kilikuwa kizito kinakaribiana na cha wale wanajeshi walio mshushia Fundikira.
Jana sikuamini macho yangu Aika yupo na hilo buzi huku akimung'unya koni gizani kweli naamini akina dada mna mioyo mkipenda kweli mmependa licha ya kupata kipigo na misuko suko ya hapa na pale.
Sinabudi kuwapongeza akina dada na mama kwa uvumilivu na kupenda kwa dhati.
 
Nadhani Aika alikitaka hicho kichapo; kwa nini akate kama hakuna kinachoendelea na huyo X wake?

Kina mama msiiwashe hasira kwa kujitakia namna hii!
 
Napenda kuwapongeza akina dada na kina mama kwa moyo wenu wa uvumilivu katika Jahazi la mahaba kwa kuwa na mioyo yenu ya kusamehe na kupiga moyo konde ndio maana mahusiano mengi yanayumba lakini mnayaokoa tena Jahazi lisizame.
Wiki mbili zilizo pita nilishuhudia dada mmoja aitwae Aika akidundwa na Buzi wake kwa kile kilicho tokea kutopokea cmu ya X boyfriend wake, alikuwa anapigiwa cmu wkt jamaa ana download mjengo ikamlazimu akatishe kudownload na kumlazimu Aika apokee cmu lakini alikataa ikabidi buzi lipokee kupokea yule X boyfriend ikamlazimu akate cmu akapiga tena Buzi likamwamulu apokee Aika alikataa kata kata jamaa akaanza kumshushia mvua ya makonde mpaka Aika akazimia sisi kama wasamaria wema tukajitolea kwenda kumtibia Hospitali huku tukiamini Aika atamdiss yule Buzi alipigwa drip kadhaa na alikaa karibia siku 4 hatoki njee kipigo kilikuwa kizito kinakaribiana na cha wale wanajeshi walio mshushia Fundikira.
Jana sikuamini macho yangu Aika yupo na hilo buzi huku akimung'unya koni gizani kweli naamini akina dada mna mioyo mkipenda kweli mmependa licha ya kupata kipigo na misuko suko ya hapa na pale.
Sinabudi kuwapongeza akina dada na mama kwa uvumilivu na kupenda kwa dhati.

Mi nina matatizo ya macho.... hutwo tuneno ndo tunamaanisha nini Fidel?
 
Napenda kuwapongeza akina dada na kina mama kwa moyo wenu wa uvumilivu katika Jahazi la mahaba kwa kuwa na mioyo yenu ya kusamehe na kupiga moyo konde ndio maana mahusiano mengi yanayumba lakini mnayaokoa tena Jahazi lisizame.
Wiki mbili zilizo pita nilishuhudia dada mmoja aitwae Aika akidundwa na Buzi wake kwa kile kilicho tokea kutopokea cmu ya X boyfriend wake, alikuwa anapigiwa cmu wkt jamaa ana download mjengo ikamlazimu akatishe kudownload na kumlazimu Aika apokee cmu lakini alikataa ikabidi buzi lipokee kupokea yule X boyfriend ikamlazimu akate cmu akapiga tena Buzi likamwamulu apokee Aika alikataa kata kata jamaa akaanza kumshushia mvua ya makonde mpaka Aika akazimia sisi kama wasamaria wema tukajitolea kwenda kumtibia Hospitali huku tukiamini Aika atamdiss yule Buzi alipigwa drip kadhaa na alikaa karibia siku 4 hatoki njee kipigo kilikuwa kizito kinakaribiana na cha wale wanajeshi walio mshushia Fundikira.
Jana sikuamini macho yangu Aika yupo na hilo buzi huku akimung'unya koni gizani kweli naamini akina dada mna mioyo mkipenda kweli mmependa licha ya kupata kipigo na misuko suko ya hapa na pale.
Sinabudi kuwapongeza akina dada na mama kwa uvumilivu na kupenda kwa dhati.

Mafuta ya gari, bili za maji, umeme, DSTV, kodi ya nyumba, shopping za nguvu ndizo zinamnyima uhuru huyo Aika kwa hilo so called Buzi lake. Angekuwa mwanamke huru wala asingerudi kwa huyo buzi!
 
Mi nina matatizo ya macho.... hutwo tuneno ndo tunamaanisha nini Fidel?

Hahahahahahah! Wewe binti nawe umeanza kunywa valuu nini siku hizi? Maana huishi vituko! Nimecheka sana! :)
icon10.gif
 
Tatizo lenu mnaamini ndio siri ya upendo ndo unaongeza upendo mara dufu

Sio kweli! Hapo hakuna upendo wowote kuna mkataba kati ya Aika na buzi lake ambao una maslahi ya kumwezesha Aika kuishi vizuri hapa mjini!
 
me pigwaling?by who?y?wat bound?am a free molecule dia,God I pray give me strength to work ad and hve wat belongs to me and by my sweat,give me a fearfull obidient man of God ,who will respect me for whom Iam,wat I have and love me and my family,frinds,job,A man who will give me opportunity and courage,God fill our poket that poverty should not be part of our lives,give us faith to trust and obey u alwayz,always make our love grow each day,with thanks giving,let us love our enemies and pray for the need,and I promise lod I will love,obey and be faithfull to my men .Amen.
Napenda kuwapongeza akina dada na kina mama kwa moyo wenu wa uvumilivu katika Jahazi la mahaba kwa kuwa na mioyo yenu ya kusamehe na kupiga moyo konde ndio maana mahusiano mengi yanayumba lakini mnayaokoa tena Jahazi lisizame.
Wiki mbili zilizo pita nilishuhudia dada mmoja aitwae Aika akidundwa na Buzi wake kwa kile kilicho tokea kutopokea cmu ya X boyfriend wake, alikuwa anapigiwa cmu wkt jamaa ana download mjengo ikamlazimu akatishe kudownload na kumlazimu Aika apokee cmu lakini alikataa ikabidi buzi lipokee kupokea yule X boyfriend ikamlazimu akate cmu akapiga tena Buzi likamwamulu apokee Aika alikataa kata kata jamaa akaanza kumshushia mvua ya makonde mpaka Aika akazimia sisi kama wasamaria wema tukajitolea kwenda kumtibia Hospitali huku tukiamini Aika atamdiss yule Buzi alipigwa drip kadhaa na alikaa karibia siku 4 hatoki njee kipigo kilikuwa kizito kinakaribiana na cha wale wanajeshi walio mshushia Fundikira.
Jana sikuamini macho yangu Aika yupo na hilo buzi huku akimung'unya koni gizani kweli naamini akina dada mna mioyo mkipenda kweli mmependa licha ya kupata kipigo na misuko suko ya hapa na pale.
Sinabudi kuwapongeza akina dada na mama kwa uvumilivu na kupenda kwa dhati.
 
Napenda kuwapongeza akina dada na kina mama kwa moyo wenu wa uvumilivu katika Jahazi la mahaba kwa kuwa na mioyo yenu ya kusamehe na kupiga moyo konde ndio maana mahusiano mengi yanayumba lakini mnayaokoa tena Jahazi lisizame.
Wiki mbili zilizo pita nilishuhudia dada mmoja aitwae Aika akidundwa na Buzi wake kwa kile kilicho tokea kutopokea cmu ya X boyfriend wake, alikuwa anapigiwa cmu wkt jamaa ana download mjengo ikamlazimu akatishe kudownload na kumlazimu Aika apokee cmu lakini alikataa ikabidi buzi lipokee kupokea yule X boyfriend ikamlazimu akate cmu akapiga tena Buzi likamwamulu apokee Aika alikataa kata kata jamaa akaanza kumshushia mvua ya makonde mpaka Aika akazimia sisi kama wasamaria wema tukajitolea kwenda kumtibia Hospitali huku tukiamini Aika atamdiss yule Buzi alipigwa drip kadhaa na alikaa karibia siku 4 hatoki njee kipigo kilikuwa kizito kinakaribiana na cha wale wanajeshi walio mshushia Fundikira.
Jana sikuamini macho yangu Aika yupo na hilo buzi huku akimung'unya koni gizani kweli naamini akina dada mna mioyo mkipenda kweli mmependa licha ya kupata kipigo na misuko suko ya hapa na pale.
Sinabudi kuwapongeza akina dada na mama kwa uvumilivu na kupenda kwa dhati.
....hahahaha!
kaaz kwelikweli!
kwa swala la aika ni NJAA
 
NINAVYOMFAHAMU MIMI aika:
-HANA PLAN 'B'
-DEPENDENT WOMAN
-BAAMEDI
-SHULE HAMNA
-MMAKONDE

raha ya milele apewe aika...!NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE
 
me pigwaling?by who?y?wat bound?am a free molecule dia,God I pray give me strength to work ad and hve wat belongs to me and by my sweat,give me a fearfull obidient man of God ,who will respect me for whom Iam,wat I have and love me and my family,frinds,job,A man who will give me opportunity and courage,God fill our poket that poverty should not be part of our lives,give us faith to trust and obey u alwayz,always make our love grow each day,with thanks giving,let us love our enemies and pray for the need,and I promise lod I will love,obey and be faithfull to my men .Amen.
How many do you or planning to have mamii? Halafu leo unamwaga slang balaa
 
NINAVYOMFAHAMU MIMI aika:
-HANA PLAN 'B'
-DEPENDENT WOMAN
-BAAMEDI
-SHULE HAMNA
-MMAKONDE

raha ya milele apewe aika...!NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE
We Geoff mwanzio hajafa ama! Nini kumfanyia sala ya maziko? Au amekufa mie sijasoma vizuri?
 
Ndo hiyo iitwayo Mwanamke nyonga au? nitaijaribu leo jioni

Na ulivyo mvivu wa kujua yanayojiri mitaani, pole! Mwanamke nyonga ishapitwa na wakati! Chipopolo ni brand mpya kabisa sokoni! :) Nitakupitishia carton moja weekend uwe unaonja mbili tatu kabla ya kwenda kusali jumuiya! :)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom