Lukwangule
Senior Member
- May 25, 2009
- 157
- 2
Shirika la Umeme nchini, Tanesco, kupitia meneja wake wa mawasiliano Badra , wamesema kwamba mgawo wa umeme upunguzwa makali yake baada ya mashine ya Kihansi iliyokuwa imetema mzigo kupona na IPTL kuingiza umeme wake katika gridi.
Mashine hiyo ya Kihansi ilikuwa inatoa megawati 60.
Meneja huyo hata hivyo hakusema IPTL imeingiza kiasi gani katika gridi.
hata hivyo alisema kwamba mgawo huo umepunguzwa makali kutokana na kiwango kikubwa cha umeme kuingia.
Alisema pia mafundiw anaendeleza harakati za mkukamilisha matengenezo ya mashine zilizobaki za New Pangani,Mtambo wa gesi wa Ubungo na kidatu.
Mashine hizo zinaweza kurejea kazini wakati wowote ule alisema Badra.
kwa wastani watanzania wanatafuna megawati 700 za umeme.
Mashine hiyo ya Kihansi ilikuwa inatoa megawati 60.
Meneja huyo hata hivyo hakusema IPTL imeingiza kiasi gani katika gridi.
hata hivyo alisema kwamba mgawo huo umepunguzwa makali kutokana na kiwango kikubwa cha umeme kuingia.
Alisema pia mafundiw anaendeleza harakati za mkukamilisha matengenezo ya mashine zilizobaki za New Pangani,Mtambo wa gesi wa Ubungo na kidatu.
Mashine hizo zinaweza kurejea kazini wakati wowote ule alisema Badra.
kwa wastani watanzania wanatafuna megawati 700 za umeme.