Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Ushamba mwingine ni mzigo kuliko zigo la misumali.
Huyu ni mmoja wa wamiliki wa JF, ina maana nyinyi vilaza huyu nyinyi ni maboss zake!!??

Hauna lolote wewe ni bahili wezesha JF, Tusilingishiane umejoin lini na lini?
Mkono mtupu haulambwi! Rejao ni big kwako.
 
Ushamba mwingine ni mzigo kuliko zigo la misumali.
Huyu ni mmoja wa wamiliki wa JF, ina maana nyinyi vilaza huyu nyinyi ni maboss zake!!??

[h=1]W. J. Malecela
user-offline.png

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]


Join Date 15th March 2009 Last Activity Yesterday 16:32 Avatar
avatar14452_2.gif
User Name: Matola
User Title: JF Senior Expert Member
Utakuwa na matatizo wewe. Nina wasiwai kuwa wewe si mzima.
Let's get back to the topic
 
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:focus:
Hivi wewe Matola na bahadhi ya wenzio kila mtu mkiwa kwenye majadiliano, unaweka join date..... Haina maana yoyote.
Wewe ni muda mrefu humu Unahabarika, JF inakuhabarisha jiulize, Umeifanyia nini JF zaidi ya yenyewe kukufanya uhabarike?
 
Hivi wewe Matola na bahadhi ya wenzio kila mtu mkiwa kwenye majadiliano, unaweka join date..... Haina maana yoyote.
Wewe ni muda mrefu humu Unahabarika, JF inakuhabarisha jiulize, Umeifanyia nini JF zaidi ya yenyewe kukufanya uhabarike?
Well nachangia sana JF lakini bado sijaamuwa kuwa Premium Member wa JF, haya ni maamuzi yangu binafsi, mimi ni premium Member wa sehemu nyingi tu lakini sijaamuwa kuwa JF Premium member. nadhani ili kukata kiu yako, chunguza kwa makini ID yangu utaiona imekuwa Premium member na nitaiondowa ili uridhike na nafsi yako.
 
Nawaomba msinichakachulie mada yangu please kama vipi kuna jukwaa husika chondechonde wandugu.
hatuwezi kuchakachua mada yako mkuu, ila ni mawazo tu ambayo yanakuja pasipo kutarajia
na ukiona hivyo ujue mada imesha expaire. labda ungetoa expaire date
 
hahahah...lol! Kumbe kuna njia nyingi sana za kumnyamazisha mtu?
Nimependa sana ulivyomalizia..hope hataingia tena kwenye anga zako!
pls wote wamekataa kunitaja naomba basi wewe personaly unitaje kuwa ni namba wani wako.
 
hatuwezi kuchakachua mada yako mkuu, ila ni mawazo tu ambayo yanakuja pasipo kutarajia
na ukiona hivyo ujue mada imesha expaire. labda ungetoa expaire date
Hapana mkuu siunajua masharti ya JF, kama mjadala unaoendelea ni tofauti na mada husika topic inaweza ikaondolewa!

Sasa kama sijatoa tahadhari mkuu inakuwaje? na hapa bado kuna watu wanahitaji kuja kuperuzz ili waje watoe michango yao! siunajua watu wanatafuta riziki kwanza ndio waje wafungue JF-MMU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom