Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Kumbe ndio maana unagombanaga nakina ritz na Rejeao. Hii ID kwa ajili ya MMU kijana naomba kwanza urudi kule Jukwaa la siasa, nyie ndio mnawasababishia ban kina FF kila siku.

Alafu hauoni aibu we senior member mie Premium member! Mie bosi wako dogo natoa maamuzi ooooh!


Kwenye warembo uliowasifia na mimi nimo, mwenzako nina jinsia mbili hapa JF, ndio maana saa nyingine najichanganya nacomment kama mwanaume wakati natumia ID yangu ya kike!!
 
Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu

But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?
 
Kwenye warembo uliowasifia na mimi nimo, mwenzako nina jinsia mbili hapa JF, ndio maana saa nyingine najichanganya nacomment kama mwanaume wakati natumia ID yangu ya kike!!
Ueleweke tu mbona mwenzio Kongosho kajiweka wazi! kwahiyo na wewe "SHEMALE"
 
Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu

But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?
Asante sana masikini Jeuri,
Ubarikiwe sana mkuu!!!
 
Kumbe ndio maana unagombanaga nakina ritz na Rejeao. Hii ID kwa ajili ya MMU kijana naomba kwanza urudi kule Jukwaa la siasa, nyie ndio mnawasababishia ban kina FF kila siku.

Alafu hauoni aibu we senior member mie Premium member! Mie bosi wako dogo natoa maamuzi ooooh!

Hahahah...lol! Kumbe kuna njia nyingi sana za kumnyamazisha mtu?
Nimependa sana ulivyomalizia..hope hataingia tena kwenye anga zako!
 
Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu

But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?

nipo Maskini _Jeuri nasoma tu mambo ya nyakati
Nimeshamtafuta sana Nyamayao sijui wapi alipo
mawasiliano yake yote yako offline
 
CCM OYEEEEEE! Huna swaga wewe!
Bila CCM ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako hata hii JF ni ya...
Ndio maana yule babu wa karatu kajidai kukimbia huku kwenda kuanzisha forum yake! Shame on him!
 
Bila CCM ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako hata hii JF ni ya...
Ndio maana yule babu wa karatu kajidai kukimbia huku kwenda kuanzisha forum yake! Shame on him!
CCM ipi ya Nyerere au ya kikwete? maana CCM zinatofautiana mkuu
 
Hahahah...lol! Kumbe kuna njia nyingi sana za kumnyamazisha mtu?
Nimependa sana ulivyomalizia..hope hataingia tena kwenye anga zako!
Ushamba mwingine ni mzigo kuliko zigo la misumali.
Huyu ni mmoja wa wamiliki wa JF, ina maana nyinyi vilaza huyu nyinyi ni maboss zake!!??

[h=1]W. J. Malecela
user-offline.png

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]


Join Date 15th March 2009 Last Activity Yesterday 16:32 Avatar
avatar14452_2.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom