Kumbe ndio maana unagombanaga nakina ritz na Rejeao. Hii ID kwa ajili ya MMU kijana naomba kwanza urudi kule Jukwaa la siasa, nyie ndio mnawasababishia ban kina FF kila siku.
Alafu hauoni aibu we senior member mie Premium member! Mie bosi wako dogo natoa maamuzi ooooh!
Mleta sledi kataja walembo tu, nashangaa na jina asplin limetajwa...au asplin ni mlembo mpya hapa JF? Babu asprin acha kupaniki.....labda siyo wewe!
Aaaa! Smile! Karibu tena jamvini! tulikumiss vipi? mama nadhani hajambo?i love you tooo
Tukiendelea kuiacha hii tabia inakomaa:
Sledi=sredi
Walembo=Warembo
Asplin=Asprin
Mlembo=Mrembo
Unakimbilia wapi Rejao??
Ukiona Avatar hii basi ujuwe huyo ni Matola! watch out kijana. vipi shule zinafunguliwa lini?
View attachment 47400
Ueleweke tu mbona mwenzio Kongosho kajiweka wazi! kwahiyo na wewe "SHEMALE"Kwenye warembo uliowasifia na mimi nimo, mwenzako nina jinsia mbili hapa JF, ndio maana saa nyingine najichanganya nacomment kama mwanaume wakati natumia ID yangu ya kike!!
Asante sana masikini Jeuri,Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu
But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?
Hutokaa unielewe,........ maana sipo hapa kwa ajili ya maelewano!!Ueleweke tu mbona mwenzio Kongosho kajiweka wazi! kwahiyo na wewe "SHEMALE"
Mkuu kwani haujui mwanamke yake sifa? Hii ni haki ya mwanamke, Kuna uzi uliletwa na mdada humu mumewe hamsifii!Taabu kweli kweli!! Ngoja nione mabinti wanavyojikanyaga na sifa ulizowapa
Haijalishi maadam ushajua unaongea na bosi wako inatosha.Hutokaa unielewe,........ maana sipo hapa kwa ajili ya maelewano!!
Mkuu kwani haujui mwanamke yake sifa? Hii ni haki ya mwanamke, Kuna uzi uliletwa na mdada humu mumewe hamsifii!
Hahahah...lol! Kumbe kuna njia nyingi sana za kumnyamazisha mtu?Kumbe ndio maana unagombanaga nakina ritz na Rejeao. Hii ID kwa ajili ya MMU kijana naomba kwanza urudi kule Jukwaa la siasa, nyie ndio mnawasababishia ban kina FF kila siku.
Alafu hauoni aibu we senior member mie Premium member! Mie bosi wako dogo natoa maamuzi ooooh!
Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu
But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?
Bila CCM ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako hata hii JF ni ya...CCM OYEEEEEE! Huna swaga wewe!
we si useme ukweli tu kuwa unapuliza.sivuti pia.
CCM ipi ya Nyerere au ya kikwete? maana CCM zinatofautiana mkuuBila CCM ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako hata hii JF ni ya...
Ndio maana yule babu wa karatu kajidai kukimbia huku kwenda kuanzisha forum yake! Shame on him!
Ushamba mwingine ni mzigo kuliko zigo la misumali.Hahahah...lol! Kumbe kuna njia nyingi sana za kumnyamazisha mtu?
Nimependa sana ulivyomalizia..hope hataingia tena kwenye anga zako!