Taz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 304
- 158
1. Kumbe ni intelligence ni ya msuba? ndio more impressive sasa sababu inatokea inner you, sio copy paste wala kujifanya mjuaji... Me like that... (I'll try it with you)
2. Husninyo na Sweetlady ni wafwasi wako? basi ndio maana I like them both.
3. Usinambie Lucky_c_pesa ni Mwanaume :shock:
2. Husninyo na Sweetlady ni wafwasi wako? basi ndio maana I like them both.
3. Usinambie Lucky_c_pesa ni Mwanaume :shock:
1 hiyo intelligence ya kuvizia nikichochea na msuba ndo kichwa inakuwa mwake (don't try that at home)
2 husn na sl hawana lolote, idea wanaiba kwangu kwanza!
3 kumbe laki si mahela ni mdada? Kazi mnayo ya kusaka millioni kufanya ugomvi!