Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Umbea ni hulka ya mtu,kwan hata asipoenda saloon atautafuta mitaani,na km mwanaume unamsimamo ukimkataza ataacha tu ila ni km huyo mkeo anakupenda kweli,na kusikiliza umbea wa saluni je? Mi wangu haruki!! Nikimshikia kiuno tu,anapiga goti!
Tunaojitambua huwa tunaingia salun na kufanyiwa tulichokifata na kuondoka zetu.