Nawalaumu wanawake wanaokubali ujinga huu...........!

mtambuzi,asante sana kwa uzi huu! unayosema ni kweli na kila wakati huwa nasema mwanamke mwenye watoto kuachana na mwanaume mnyanyasaji ni kuwafanyia favor watoto wake. ifike mahali tuseme kwa ujasiri 'i left him for the sake of my kids!'. sasa umenipa wazo jipya, hivi kama mama zetu wangeamua kuondoka at the 1st incidence of cheating, pengine hata kaka zetu wasinge-cheat wake zao? nawaza hivi kwa sababu mostly tunakua na courage ua kukataa kunyanyaswa manake wazazi hawakunyanyaswa. labda tunakubali cheating kwa sababu hiyo ilikua tolerated?its off topic,lakini topic hii imeniwazua kidogo,utanisamahani!
 
mtambuzi,asante sana kwa uzi huu! unayosema ni kweli na kila wakati huwa nasema mwanamke mwenye watoto kuachana na mwanaume mnyanyasaji ni kuwafanyia favor watoto wake. ifike mahali tuseme kwa ujasiri 'i left him for the sake of my kids!'. sasa umenipa wazo jipya, hivi kama mama zetu wangeamua kuondoka at the 1st incidence of cheating, pengine hata kaka zetu wasinge-cheat wake zao? nawaza hivi kwa sababu mostly tunakua na courage ua kukataa kunyanyaswa manake wazazi hawakunyanyaswa. labda tunakubali cheating kwa sababu hiyo ilikua tolerated?its off topic,lakini topic hii imeniwazua kidogo,utanisamahani!

Huko Off Topic King'asti..........Mara nyingi hutokea kama mwanamke anarudi kwa wazazi wake kulalamika manyanyaso ya ndoa, wazazi hasa wa kike huwatisha kwa kuwambia kwamba ni aibu kuachika au kumkimbia mume..... na anaweza hata kujitolea mfano kuwa mbona yeye amedumu na baba wa binti, sio kwamba wanapendana wakati wote bali wanavumiliana........... kauli hizi hutolewa makusudi na wazazi kwa kuhofia kudaiwa mahari ambayo wameshakula..............mimi nilimkataza baba yangu kuchukuwa mahari wakati dada zangu wanaolewa na ninashukuru alikubali ushauri wangu, ila kina mama walikuwa wakali wakadai kile kinachoitwa mkaja wa mama ambapo hata sina uhakika kama jamaa aliukuta au la............... ni kichekesho eh!
 
Haya yote yanayotokea ni kwa sababu tuko "empty" vichwani mwetu. Imagine kwa nini familia ya mwenzako iwe ya amani na yako siyo? Ebu chunguza nini kinakosekana kwako? Wanawake wa siku hizi tuko bussy, hatuna muda wa kukutana kwenye vikao, tukakutana na wanawake ambao ni successfu kwenye ndoa zao wakatupa hints.

Kuna wanawake wengine hawajui kuguswa,waume zao wako cool hawana muda na nyumba ndogo wala mawazo ya kuja kuwa nayo. wanaume kutokana na influence za wake zao wana hofu na Mungu. Haya nikianzia kwangu nani hapa anaweza kusimama kutoka rohoni kwake akashuhudia kufunga au kukesha kwa ajii ya mumewe? Akamwambia Mungu naomba mume wangu aachane na hiki na kile? Haya na wewe muombaji una vigezo vya kukufanya kulalama kwa nini mumeo anatoka nje ya nyumba? Mimi sitetei wanaume hata kwenye vitabu vyote vya dini "Mwanamke" ndiyo nguzo ya familia kwa kila kitu.

Mara nyingi nyumba ambayo ni corrupt "mwanamke ndiye chanzo" hata waume zetu kuwa vile walivyo ni wake/GF zao. Kuhusu kupiga, sometimes wanawake tuna kauli chafu/tabia mbaya sana ambazo zinaweza kumpelekea mwanamke kupigwa. Kwa mfano; matusi machafu, kutokuwa responsible na familia. Unakuta mwanamke ni weekend kaondoka hajui watoto watakula nini, wameoga, au vitu gani vinamis ndani. Mume akiuliza kidogo majibu ya chooni yanaanza!! sometimes hasira zinaweza kukupelekea kufanya mambo ambayo hukuyategemea.

Wanawake tuna kila sababu ya kubadilisha familia zetu, vile familia yako ilivyo ni wewe unawajibika, acheni kukimbia majukumu yenu~!
 
Back
Top Bottom