TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Hawa wadada toka Singida,Kusini na Tanga wengi wetu huwa tunawakubali kwa mambo yao,ni wakali.Nawafagilia sana.
Hata mapenzi pia wanayajua
bila kusahau wa Tabora kwa mawowowo
Hawa wadada toka Singida,Kusini na Tanga wengi wetu huwa tunawakubali kwa mambo yao,ni wakali.Nawafagilia sana.
Tuko pamoja,Tabora si haba.Hata mapenzi pia wanayajua
bila kusahau wa Tabora kwa mawowowo
Nalo wazo mkuu.Akina dada wote TZ wanakubalika, huo ni mtazamo wako tu pia ni ubaguzi wa kikabila.
Ngoja nikueleze kitu ndugu, Mkoa atokako mtu patabaki kuwa mkoa tu,Kabila la mtu litabaki kuwa kabila tu na Tabia ya mtu itabaki kuwa hivyo.
Tambua ya kuwa Dada mzuri ni yule mwenye hekima na maadili mema si vinginevyo!!!!!!!!!!
Kweli,pwani inatisha.Jamani hata sie wazaramo ni wazuri sana
Tabu ni kwamba wanajiita wamanyema.waha je?
Nimesoma maoni ya wadau wote ila sitasema sana . But hata siku moja mtu unayejiita GT huwezi tambua kuwa life style imeegemea zaidi kwenye fikra na matakwa ya mtu mwenyewe? Japo jamii inayomzunguka na asili ya jamii aliyotokea vina nafasi ndogo sana kwenye hilo. BINTI AU MKE NI MKWE TUU INATEGEMEANA NA YEYE NA SIYO ALIPOTOKEA. Mbona niliioa mwarabu mwanzoni ila alikuwa hafanyi wanayodai ?
Waja leo na huondoki.nashukuru mungu aliyeniongoza nilimkimbia dem mmoja wa kitanga alikuwa ananingangania mbaya cjui ningekuwa wap sahv!
Ngumi unaziweza?Sasa mbona mnanichanganya nilikuwa mbioni kuoa singida, sas nitaoa mkurya.
Hawa wadada toka Singida,Kusini na Tanga wengi wetu huwa tunawakubali kwa mambo yao,ni wakali.Nawafagilia sana.
Yaani wako vizuri aka fit.sijakusoma bado Mkuu. Be specific
Aaah wapi wanatisha mkuu.(Ulimakafu;gumi unaziweza?)
Waulize Wakurya ni ngumi zipi? hata wewe utaziweza kama upo energetic
Huwezi kataa....think DIFFERENT,alisema Steve Jobs!