- Thread starter
- #21
Jamani acheni kua wavivu wa kuelewa mimi nimetembea maeneo mengi sana,kahama maeneo phantom nimekaa sana,mwanza misungwi,dar,iringa kote huko mara ya kwanz kufika ilikua tabu sana nimeteseka na ndio mana sipendi yatokee kwa watu wanaotamani kuja TA usitishwe na chochote tena kwa taarifa tu naweza kukusaidia kwa sim tu nakuelekeza sehem uitakayo kiroho safi,haiwezekani mtu unakuja tanga uanze kutangatanga njoo pm