Nawaita wana FoE (CoET) njooni tukiokoe chuo chetu

mamanalia

JF-Expert Member
Nov 7, 2009
666
146
Nimeona request ya Prof. Mwamila kupitia post ya mdau mmoja hapa kwenye JF. Ninamshukuru sana kuileta hapa JF.
Hii kweli inasikitisha sana, anyway, sie ndo wana FoE tuliopigania umoja na undugu wakati wote tukiwa FoE na tukawaambia na wadogo zetu na leo hii natumai bado wana FoE spirit ingawa sasa inaitwa CoET. Mie nitatoa hiyo 30,000 kila mwaka kutoka kwenye kamshahara kangu haka kadogo nakopata. Ninawaita wana FoE wote popote waliopo either TZ au abroad tukiokoe chuo chetu, hakuna mpuuzi anayejiita mwanasiasa kama JK atayeiokoa FoE, jamani tulisolve many problems those times let's get back and solve this, if we begin and make a good move, those corrupt stupids may also change and join us. FoE ni ya wasomi wahandisi sio wasomi wanasiasa waliosahau walitoka wapi na kushabikia CCM tu na kusahau maendeleo kama kina kawambwa na wahandisi wengine walioko bungeni.

I urge you all, come n support our fellow Prof. Mwamila. This time we don need to go to FoE slab but we need to take that money to Mwamila na uzuri yeye si fisadi hatazila hizo pesa. Please I urge u again. Regain our FoE spirit n make a change.
 
ni kweli mdau mhandisi, mi nashauri tuanzishe blog ya kihandisi na tuiite "the Slab Blog forum" na hapo tuwe tunaweka mambo yetu na kuonyesha our spirit, The FoE spirit.
 
Nimeona request ya Prof. Mwamila kupitia post ya mdau mmoja hapa kwenye JF. Ninamshukuru sana kuileta hapa JF.
Hii kweli inasikitisha sana, anyway, sie ndo wana FoE tuliopigania umoja na undugu wakati wote tukiwa FoE na tukawaambia na wadogo zetu na leo hii natumai bado wana FoE spirit ingawa sasa inaitwa CoET. Mie nitatoa hiyo 30,000 kila mwaka kutoka kwenye kamshahara kangu haka kadogo nakopata. Ninawaita wana FoE wote popote waliopo either TZ au abroad tukiokoe chuo chetu, hakuna mpuuzi anayejiita mwanasiasa kama JK atayeiokoa FoE, jamani tulisolve many problems those times let's get back and solve this, if we begin and make a good move, those corrupt stupids may also change and join us. FoE ni ya wasomi wahandisi sio wasomi wanasiasa waliosahau walitoka wapi na kushabikia CCM tu na kusahau maendeleo kama kina kawambwa na wahandisi wengine walioko bungeni.

I urge you all, come n support our fellow Prof. Mwamila. This time we don need to go to FoE slab but we need to take that money to Mwamila na uzuri yeye si fisadi hatazila hizo pesa. Please I urge u again. Regain our FoE spirit n make a change.

mpaka sasa naamini msafi ajazaliwa....so usimsemehe moyo unless uko nae kuhamasisha michango tuwaletee
 
Do you think usipokuwa mshushu unaweza kuwa Dean wa FoE?thubutu.......Hii ni bongoland!
 
Back
Top Bottom