nawachukia sana wanaume wanaovaa mapete makubwa

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
sipendi hilo,tena wengine ni viongozi wa serikali na dini,kwa kweli acheni vaeni pete za ndoa au kama hamna ndoa usivae pete,naona pete zina ujumbe ambao wengi wanaovaa hawajui!!!
 
Back
Top Bottom