we mkali!!!tena wengi wao nimekutana nao humu ndani et mtu anareply with quote sired yenye page mbil alafu anareply hata mstar mmoja haujai et anaandika ''We mkali kwel''
we mkali!!!
cjambo my dear!! habari ya comoro?lkn kwann unapenda kukaa mkao huo my dear?? c nilishakwambia athari zake?!Hujambo bi dada