Mamushka mdadi umepanda
Naelewa dada but hebu tulia kidogo, fuata ushauri wa mheshimiwa Mbu kisha tuone itafikia wapi. Epuka kufanya maamuzi ukiwa high kwa hasiraYamenifka kooni MJ1 si unajua sina haja ya kusema sana
Baadhi ya wanaume
Kwa nini hanitoshelezi?
Kwa nini ananibania kutembelea marafiki?
Kwa nini ananikataza kuwa mmbea?
Kwa nini ananikataza kuwa na mashoga?
Kwa nini ........
Kwa nini .......
Sawa sawa sawa Mkuu wewe ukisema mie natii
Kwanini hamna huruma?
Kwanini hamthamini wanawake?
Kwanini hamna heshima na adabu?
Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia??
Kwanini Mnamadharau?
Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa mkeo?
Kwanini hamjali hisia tulizonazo??
Kwanini mawasiliano mwanamke tu ndo aanze??
KWanini hamjali msaada mnaopewa??
NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA MILELE SIWAPENDI
JF Ingeruhusu matusi nadhani hasira yangu ingeishia hapa leo.............ukoje wewe mwanaume upendweje?? Usaidiweje?? Ujaliweje?
Ngoja nika............oohh gooooshi nilale tu
Mtu asiniulize nini kimenikuta but nimeumizwa vya kutosha today nasema kilichonisibu
swahiba, kusema kweli leo nimepata shoko ya mwaka from DA... i couldnt believe my eyesDena umefanya busara kuja zishushia hasira zako humu.
chukua ile glass kubwa kuliko zote. Jaza barafu na Kunywa maji baridi,...
Ukishamaliza (maji), haya uliyo-type hapa yaandike kwenye karatasi...
kisha ichane na u-flush chooni.
Chukua karatasi nyingine,...andika yote unayoamini unapaswa kufanyiwa.
- ungependa awe na huruma zipi
- ungependa akuthamini kivipi
- ungependa aonyeshe heshima na adabu zipi
- authamini vipi mchango wako kwenye familia
- ajiepushe vipi na madharau kwako
- aepuke vipi maumivu akusababishayo
- kivipi ajali hisia ulizonazo
- mawasiliano gani anayopaswa yeye pia ayaanzishe
- ajali vipi msaada unaompa
Ukishamaliza kuandika nijulishe nikwambie ufanye nini...
I reserve my teeth . . :shut-mouth:
swahiba, kusema kweli leo nimepata shoko ya mwaka from DA... i couldnt believe my eyes
but when i looked at her signature, i had a laugh
contradicting indeed!!!