la Jeneral
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 392
- 57
poleeee,tema mate tumchape
Duh....! Pole mamy....! Inaonekana mzee kagawa pipi kwa wengine....! lakini si ilisemekana kizuri kula na mwenzio?Kwanini hamna huruma?
Kwanini hamthamini wanawake?
Kwanini hamna heshima na adabu?
Kwanini Hamthamini michango yetu kwenye familia??
Kwanini Mnamadharau?
Kwanini hamjali maumivu msababishayo kwa mkeo?
Kwanini hamjali hisia tulizonazo??
Kwanini mawasiliano mwanamke tu ndo aanze??
KWanini hamjali msaada mnaopewa??
NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA NAWACHUKIA MILELE SIWAPENDI
JF Ingeruhusu matusi nadhani hasira yangu ingeishia hapa leo.............ukoje wewe mwanaume upendweje?? Usaidiweje?? Ujaliweje?
Ngoja nika............oohh gooooshi nilale tu
Mtu asiniulize nini kimenikuta but nimeumizwa vya kutosha today nasema kilichonisibu
Ndiyo, kushirikiana ni jambo jema sana mama....! Na hizo hasira zinaletwa na uchoyo.....! So, punguza uchoyo...! Kama wewe huwezi kutoa, kwanini uone ni vibaya kwa wenye kutoa wakitoa?Mubaya wewe kula na mwenzako tena???
Ndiyo, kushirikiana ni jambo jema sana mama....! Na hizo hasira zinaletwa na uchoyo.....! So, punguza uchoyo...! Kama wewe huwezi kutoa, kwanini uone ni vibaya kwa wenye kutoa wakitoa?
Kuna vya kutokuwa mchoyo lakini ile kitu inamesa mwensake hapana kupeana bana