NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Marafiki zangu na ndugu zangu wa JF, nawakosa sana vituko,ucheshi,ushauri na utani wa hapa na pale ambao tumekuwa tukiushi kusogeza siku mbele.
Licha ya kuwa na majukumu makubwa ya ajira na maisha yananisonga kwa sasa nimepatwa na tatizo kubwa la kukosa usingizi kwa sasa. Nikirudi tu jioni saa 2 nasinzia nikilala usingizi unakata after an hour nakuwa macho mpaka asubuhi. Halii imedumu kwa mwezi sasa na imenidhoofisha kiafya.
Kwa upande mwingine nishukuru JF imenisaidia sana kimawazo na kunipatia marafiki wa kweli ambao kwa sasa tunaishi kama ndugu. Wana JF wana sifa ya commitment na kujitolea iwe furaha au shida endeleeni kwa moyo huo huo pamoja tutafika.
Niwatakie wk end njema na salamu za siku kuu za mwisho wa mwakwa.
Licha ya kuwa na majukumu makubwa ya ajira na maisha yananisonga kwa sasa nimepatwa na tatizo kubwa la kukosa usingizi kwa sasa. Nikirudi tu jioni saa 2 nasinzia nikilala usingizi unakata after an hour nakuwa macho mpaka asubuhi. Halii imedumu kwa mwezi sasa na imenidhoofisha kiafya.
Kwa upande mwingine nishukuru JF imenisaidia sana kimawazo na kunipatia marafiki wa kweli ambao kwa sasa tunaishi kama ndugu. Wana JF wana sifa ya commitment na kujitolea iwe furaha au shida endeleeni kwa moyo huo huo pamoja tutafika.
Niwatakie wk end njema na salamu za siku kuu za mwisho wa mwakwa.