siwazi wa siwazi
Member
- Aug 20, 2016
- 9
- 2
Goodmorning...
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza viwanja vyangu viwili ambavyo vyote vipo wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam.
Kiwanja kimoja kipo kata ya Goba ambacho ukubwa wake ni hekari moja, kingine kipo Madale Kisauke nacho pia ni hekari moja.
Bei za viwanja vyote ni milioni 60, nikiwa na maana kila kiwanja nauza kwa milioni 30.
Viwanja vyote hivi vipo karibu na huduma zote za kijamii kama vile maji, barabara na umeme.
Mazungumzo yapo kwa mtu atakayekuwa tayari.
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza viwanja vyangu viwili ambavyo vyote vipo wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam.
Kiwanja kimoja kipo kata ya Goba ambacho ukubwa wake ni hekari moja, kingine kipo Madale Kisauke nacho pia ni hekari moja.
Bei za viwanja vyote ni milioni 60, nikiwa na maana kila kiwanja nauza kwa milioni 30.
Viwanja vyote hivi vipo karibu na huduma zote za kijamii kama vile maji, barabara na umeme.
Mazungumzo yapo kwa mtu atakayekuwa tayari.