bei ya mwisho ni mil.14 ni gari mpya kabisa angalia km iliotembea hadi sasa ,ni gari ya mwaka 2003 ina cc 1290, document original zote zipo.
showroom ni mil. 15 na zinakuwa zimetembea kuanzia km 100,000 na kuendelea,imagine hiyo ni km 20,000 s' tuu..
bei ya mwisho ni mil.14 ni gari mpya kabisa angalia km iliotembea hadi sasa ,ni gari ya mwaka 2003 ina cc 1290, document original zote zipo.
Mkuu utembeaji wa ulaya ni tofauti na utembeaji wa bongo,bongo inaweza tembea km 10000 tu na ulaya km 100000 lakini la bongo likaonekana limechoka kuliko lililotembea ulaya
Mtu akiuza kitu chake haimaanishi ni kibovu pengine anahitaji kufanya replacement au shida binafsi, hata hivyo mnunuzi hawezi kununua kitu bila kukagua na kujiridhisha.. kwa hiyo mimi nauza kwa sababu zangu binafsi.
hiki si kidogo kama swift au vtz, hii inatumiwa sana na watu gani kwa wadada au wanaume?
nauliza tu maana jinaume kuendeshe vitz unaonekana kituko
unaangalia ukituko au ufike unapokwenda?na mafuta yanavyopanda kila siku na hizo foleni unaangalia gari la kike au kiume?
pamoja na mafuta kupanda ndio nikanunu bajaji??
Unaangalia ukituko au ufike unapokwenda?na mafuta yanavyopanda kila siku na hizo foleni unaangalia gari la kike au kiume?
Unaendesha Vitz?