Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Ipo chanika, eneo la kinyamwezi-DSM.
For serious buyers piga 0779-333334 au 0715-988888
- Imejengwa boma lililokamilika kwa ustadi na halijaezekwa.
- Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room, kitchen, dinning, mini-store na vyoo vya ndani.
- Ina verandah ya mbele na nyuma.
- Ina eneo zuri litoshalo fence ya kutosha.
- Umeme umeshafika eneo hilo.
- Panapimika ila kwangu sikufaulu kupima shauri ya ukata.
- Eneo lina ukubwa wa UREFU-HATUA 40, UPANA-HATUA 30.
- Gari inafika mpaka nyumbani.
- Mimi ndie mmiliki, si mtu wa kati wala dalali.
For serious buyers piga 0779-333334 au 0715-988888