Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Mkuu mamamdogo ninauza nyumba sio kiwanja.....................
Achana na hizo nyumba ni za Urithi mpaka matatizo ya urithi yamalizike kama kweli upo serious mimi ninacho kiwanja changu ninakiuza kipo Maeneno ya Vijibweni kama upo Serious unakitaka niambie nitakuuzia Bei ni maelewano unasemaje? mamamdogoRejea maboresho ya bandiko langu, halafu unifafanulie, nyumba hiyo haina matatizo na mitegomitego??? I am a serious buyer!!!
Mkuu mamamdogo Vijibweni ni kule kwa Mzee Jumbe aliye kuwa Rais wa Zanzibar anapoishi huko kuvuka kigamboni wilaya ya Temeke. Usiogope Mamamdogo.Vijibweni??? Hiyo Vijibweni mbona ina sound kama Mabwepande, naogopa!!! Ndiyo wapi huko (wilaya ya Temeke, Ilala au Kinondoni)?? Nifafanulie tuingie biashara
Ndani ya hizo nyumba kuna vitu hivi vya kizamani......................
hiyo sufuria itanifanya niinunue hiyo nyumba maana mpunga ni balaa ndege mwenyewe anauhusudu.Nahivi pia vipo ndani ya hiyo nyumba ninaviuza
Nahivi pia vipo ndani ya hiyo nyumba ninaviuza