We acha tu Mkuu...Kuna siku nilialikwa kwa rafiki kwa ajili ya msosi. Sikujua kama nyumba ile kuna mapaka. Basi chakula kilipowekwa mezani mama mwenye nyumba akapotea kama dakika tano hivi chakula kiko mezani waziiiii basi mapaka manne yakarukia pale mezani na kuanza kudokoa dokoa chakula kile. Mie mkanda mzima nauona live. Nikaamua mara moja kwamba sigusi kile chakula. Sasa akili inanizunguka kutafuta uongo wa kutokula. Basi nikagundua uongo wa kuwaambia wenyeji ili nikwepe kile chakula maana yale mapaka manne yalichezea kile chakula na nilikuwa sijui chakula kipi kilichochezewa.
Basi nilipokaribisshwa rasmi nikaomba samahani jamani mie nilisahau kabisa kuhusu huu mwaliko hivyo nimekula kabla ya kuja hapa na vinono ninavyovipna juu ya meza najuta kwanini nilisahau. Yaani sina nafasi hata ya tonge mbili Ila nitakunywa kinywaji na samahani nyingi sana kwa wenyeji wangu....Yaani mie na mapaka!!! ptuuuuuuuuu...uke:
Hawakugundua kabisa sababu ya kuukwepa msosi ule.
Safi
Ova
Nnaye paka mmja matata sanaUtanunua?
Nnaye paka mmja matata sana
Ugonjwa wangu paka na mbwaa kwangu wote wapo
Ova
Hadi raha
Yaah, paka ni mnyama msafi sana.. Mimi ninae mmoja nyumbani akiniona tu lazima anikimbilie.. Wapo vizuri sanaRaha ya kuwa na paka?
Yaah, paka ni mnyama msafi sana.. Mimi ninae mmoja nyumbani akiniona tu lazima anikimbilie.. Wapo vizuri sana
Pole sana mkuuNi kweli mkuu lakini mimi binafsi na hawa pets picha haziendi kabisa
natamani niishi sehem ya ivo, pia pawe kuna wanyama wengibe mbalimbali. napenda nyau,mbwa,panya kila aina ya wanyama
kila kiumbe hair kasoro Kunguni,mbu Na chawa Natamani niwafuge. napenda sana viumbe haiHadi panya????????