ni discount kubwa mkuu ila watu watajiuliza mengi ndio maana nikaquote hako ka-jokeWhat are u trying to insinuate dude?!!
ni discount kubwa mkuu ila watu watajiuliza mengi ndio maana nikaquote hako ka-joke
im interested
nadhani biashara hii tunaweza maliza kwa transactions kufanyika kwa simu, yaani kwa kutumia m-pesa na kurusha/kuhamisha hizo vocha kwa simu,
sasa swali ni hili, nani ataanza kutuma, ni wewe utanirushia vocha kwanza halafu nikulipe kwa m-pesa au mimi nikutumie m-pesa halafu unirushie vocha?
Kwa bahati mbaya Mkuu nimeshamaliza muda,Nimeshamtumia Mkuu Inkoskaz hapo juu,namsubiria yeye anitumie hiyo MPESA kwa namba niliyoitaja hapo juu!!
However,i still have some airtime worth 25000,I could sell it to u at 17000,if u are willing inbox me ur number and i will send u the airtime n u will MPESA me kwenye namba niliyoitaja hapo juu!!
im interested
nadhani biashara hii tunaweza maliza kwa transactions kufanyika kwa simu, yaani kwa kutumia m-pesa na kurusha/kuhamisha hizo vocha kwa simu,
sasa swali ni hili, nani ataanza kutuma, ni wewe utanirushia vocha kwanza halafu nikulipe kwa m-pesa au mimi nikutumie m-pesa halafu unirushie vocha?
Kwa bahati mbaya Mkuu nimeshamaliza muda,Nimeshamtumia Mkuu Inkoskaz hapo juu,namsubiria yeye anitumie hiyo MPESA kwa namba niliyoitaja hapo juu!!
However,i still have some airtime worth 25000,I could sell it to u at 17000,if u are willing inbox me ur number and i will send u the airtime n u will MPESA me kwenye namba niliyoitaja hapo juu!!
done
done
Sawasawa Mkuu,Its done,thank to u and Mkuu Inkoskaz,Muwe na Wiki End Njema!!!
nimependa hii Dili,na inaonyesha the level of TRust within JF members. ila ningependa kujua hizi discount ni za Voda au kuna jinsi amepewa/kupata airtime free na ameamua kuziuza,im interested
nadhani biashara hii tunaweza maliza kwa transactions kufanyika kwa simu, yaani kwa kutumia m-pesa na kurusha/kuhamisha hizo vocha kwa simu,
sasa swali ni hili, nani ataanza kutuma, ni wewe utanirushia vocha kwanza halafu nikulipe kwa m-pesa au mimi nikutumie m-pesa halafu unirushie vocha?
regards
In Americano free lunch!!
nimependa hii Dili,na inaonyesha the level of TRust within JF members. ila ningependa kujua hizi discount ni za Voda au kuna jinsi amepewa/kupata airtime free na ameamua kuziuza,
nimechelewa kupata hiyio airtime ,next time nami nitanunua,
swali no2. naweza kutumia hiyo airtime kwa ajili ya Internet?
mkuu NM
kilichotokea ni kwamba,, baada ya makubaliano na Evergreen alinirushia airtime kwenye simu yangu na nikapata sms na account yangu ikawa imekua recharged TZS 25,000,, Baada ya hapo nikampa twenty minutes ili niweze kufanya transfer ya TZS 17,000 through m-pesa , after my transfer was successfully done,, Evergreen called me and acknowledge the receipt of payment via m-pesa,,
from there the deal was successfully done and everyone is happy
i am using my purchased airtime from Evergreen to the best of satisfaction, both data, voice and credit transfer to other vodacom subscribers
hii ndiyo JF bana
Tukiendelea kuaminiana hapa JF itakuwa vizuri sana kwa kweli,mfano kama hivi sasa hapo juu deal limefanyika faster tu....
Mmm hii biashara bado haijaniingia kichwan hebu tuendele kungoja coz nami ntahitaji.