M Mparanyanga Member May 20, 2010 28 5 Apr 6, 2012 #1 habari wandugu,ninauza mayai ya kuku wa kienyeji, kwa mtu anayehitaji no zangu ni 0712 25 90 21 na 0754 255 734, tray moja ni sh 14000tsh.
habari wandugu,ninauza mayai ya kuku wa kienyeji, kwa mtu anayehitaji no zangu ni 0712 25 90 21 na 0754 255 734, tray moja ni sh 14000tsh.
Foundation JF-Expert Member Nov 25, 2010 1,421 596 Apr 6, 2012 #2 Hebu tuwekee unapatikana maeneo gani kabla hutujachoma vocha. Dar au nje ya Dar? Kam Dar weka maeneo gani unapatikana. Weka taarifa zinazojitosheleza
Hebu tuwekee unapatikana maeneo gani kabla hutujachoma vocha. Dar au nje ya Dar? Kam Dar weka maeneo gani unapatikana. Weka taarifa zinazojitosheleza