Teh teh teh.............bei milioni 6 tu!!!!! haya bana.
kutoka africana ni km 6 kutoka mbuyuni km 7 na kutoka tangibovu sina uhakika sana coz sikupima ila kama ukipitanjia ya kwenda goba unaingilia pale tatedo. bei million 6 tu. barabara ipo mpaka sehemu usika umeme uko karibu sana.