Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,974
- 4,733
nimeangalia comment zenu zikanitosha kabisa baada ya miaka kadhaa nimerudi tena na kutaka kukiuza kiwanja hiki hiki ambacho kwa wakati ule nilibadili nia baada ya kupata utatuzi wa baadhi ya changamoto nilizokuwa nazo wakati ule.
kwa sasa nimerudi tena na safari hii nauza bila stress usiponunua tunabaki droo match wewe unabaki na hela zako na mimi nabaki na kiwanja changu.
hivyo aliye serious karibu pm kwa kuwa mauziano ni mkataba hivyo sio busara watu wote waelewe biashara inaendaje.
kwa sasa nimerudi tena na safari hii nauza bila stress usiponunua tunabaki droo match wewe unabaki na hela zako na mimi nabaki na kiwanja changu.
hivyo aliye serious karibu pm kwa kuwa mauziano ni mkataba hivyo sio busara watu wote waelewe biashara inaendaje.