Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wapendwa,
Nauza kiwanja. Kipo Mbezi (loius) kwa Msuguri kilometa 2.5 hivi kutoka main road. Kina slop na ni kizuri sana, maana utapata upepo mwanana ukijenga pale. Kama nusu kilometer kutoka hapo St. Thomas high school, nusu kilometer ipo St. Anne Marie School, na km 1 ipo Gift nursery and promary school. hii ina maana wanao watapata shule nzuri bila adha ya usafiri. Pia maji yapo, mradi wa wachina umefika huko ndo wako busy wanachimba mabomba. umeme upo karibu utahitaji nguzo moja au usihitaji kabisa (itategemea Tanesco baada ya kupima). Ukubwa 30x50. Barabara ya gari kubwa inafika pale pale site. Kina msingi japo umejengwa siku nyingi. Wasiliana nami kwenye mutensa@live.co.uk. hakuna haja ya dalali maana kiwanja hiki ni cha kwangu.
Nauza kiwanja. Kipo Mbezi (loius) kwa Msuguri kilometa 2.5 hivi kutoka main road. Kina slop na ni kizuri sana, maana utapata upepo mwanana ukijenga pale. Kama nusu kilometer kutoka hapo St. Thomas high school, nusu kilometer ipo St. Anne Marie School, na km 1 ipo Gift nursery and promary school. hii ina maana wanao watapata shule nzuri bila adha ya usafiri. Pia maji yapo, mradi wa wachina umefika huko ndo wako busy wanachimba mabomba. umeme upo karibu utahitaji nguzo moja au usihitaji kabisa (itategemea Tanesco baada ya kupima). Ukubwa 30x50. Barabara ya gari kubwa inafika pale pale site. Kina msingi japo umejengwa siku nyingi. Wasiliana nami kwenye mutensa@live.co.uk. hakuna haja ya dalali maana kiwanja hiki ni cha kwangu.