Kipo Buyuni karibu na Chanika,unapita Pugu Secondary.
barabara ni za uhakika zilichongwa na wizara wakati wa upimaji...sasa hivi kuna mradi mkubwa wa nyumba za PSPF kwenye maeneo haya unendelea.
Bei ni Pesa halali ya KiTz Millioni TISA(9,000,000).
kama uko interested niPM tufanye biashara.
barabara ni za uhakika zilichongwa na wizara wakati wa upimaji...sasa hivi kuna mradi mkubwa wa nyumba za PSPF kwenye maeneo haya unendelea.
Bei ni Pesa halali ya KiTz Millioni TISA(9,000,000).
kama uko interested niPM tufanye biashara.