Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,834
- 3,655
mnaongelea nini?
....mdomo mkuu!
mnaongelea nini?
Wabongo kwa Kupenda Mtelemko?kinachakachuliwaje?
bora ununue dish la local channels angalau utapata channels nzuri za free kuliko za kulipia kwenye star time ujinga mtupu najilaumu sana kununua.
Wadau nauza king'amuzi cha star times (kipo kwenye box, kama kipya), kimeshalipiwa miezi mitatu, yaani 19th sept- 19th dec 2011. Bei ni sh elfu sitini tu (60,000). Hakina tatizo lolote. Sababu ya kuuza ni kuupgrade to dstv.
NiPM kama unahitaji. Ntadeliver kokote dsm.
Kwa mtu anayejitambua huwezi kununua king'amuzi cha star times! na wewe ni mjanja ndio maana una-upgrade sio?!
Star times = TBC = CCM = Serikali inayofinya uhuru wa habari (read Mwanahalisi + Kuondolewa kwa chanel ya Emmanuel TV)
So very soon star times itakuwa na chanel 2 tu yaani TBC na wafadhili wao CCTV na cartoons tupu, no value for money; not worthy tzs 60,000/=; useless gadget!!