Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
Wakuu, vyote vipo kwenye hali nzuri, almost vipya hasa Kinanda maana hakijamaliza hata miezi 3. Gitaa ni YAMAHA, linatumia umeme pia. Lina begi na cable yake. Kinanda ni TANSEN, kina begi na stand yake. Nimeambatanisha picha.
Nimeacha Muziki maana nimefanya sana lakini kina Diamond wanakuja wanatoka mimi bado nasugua lami. Pia naviuza kwa bei ya hasara mno maana nina dharura inayohitaji pesa! Gitaa utanipa laki 3 na nusu (nilinunua laki 5 na nusu, mie nakuachia na begi). Kinanda utanipa laki 6 (nilinunua laki 8, mie nakuachia begi na stand pia).
Piga 0692 021670. Nipo Arusha. Unaweza kuja kuviona.
Nimeacha Muziki maana nimefanya sana lakini kina Diamond wanakuja wanatoka mimi bado nasugua lami. Pia naviuza kwa bei ya hasara mno maana nina dharura inayohitaji pesa! Gitaa utanipa laki 3 na nusu (nilinunua laki 5 na nusu, mie nakuachia na begi). Kinanda utanipa laki 6 (nilinunua laki 8, mie nakuachia begi na stand pia).
Piga 0692 021670. Nipo Arusha. Unaweza kuja kuviona.