Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nikakwambia unataka kuingia chooni na gari.Ndio nini hicho kitu????
Tunaongelea Ipad hapa!
Kwani text message sio data? We vp Mkuu?
Unahitaji text kufanya mambo mengi, kuongeza salio la bandwidth, kucheki salio, kutuma salio.... na kadhalika, IPAD haiwezi hata kutuma text, ni kifaa hafifu! Bora tab za Samsung. Samsung tab zangu zina GSM yenye telephony technology, unaweza kutuma texts na hata kupiga simu.