Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
Wakuu,
Nimeamua kuirelease Workstation yangu ya HP Pavilion: 12 RAM GB, i5, 1 Terabyte, TouchSreen. Kiukweli nimepiga nayo mamilioni sema ndo ivo kuna majanga yamenipata...sina budi kuipiga bei. Niliinunua Milioni 3 n nusu. NAIUZA 1 MILLION. Imetumika 6 months. CALL 0719063544.
PS: Nilisahau kunotify jambo moja: in screen crack...hivyo robo ya screen sio Touch, nilienda kwenye duka flani la IT wakasema they can change a screen kwa laki 2 (maximum price). but sikuwahi kuona uhitaji, nimekuwa nikipiga nayo kazi hivyo hivyo (yaani Touch ni upande mmoja wa kushoto). so nimekuwa natumia Mouse just like any other Computers kwa upande wa Screen but capacity yake iko pale pale. IN THAT REGARDS, NTAOMBA LAKI 8, HIYO LAKI 2 KABADISLISHIE KIOO KAMA UTAONA KUNA HAJA YA KUTUMIA FULL-SCREEN TOUCHSCREEN. ova.
Nimeamua kuirelease Workstation yangu ya HP Pavilion: 12 RAM GB, i5, 1 Terabyte, TouchSreen. Kiukweli nimepiga nayo mamilioni sema ndo ivo kuna majanga yamenipata...sina budi kuipiga bei. Niliinunua Milioni 3 n nusu. NAIUZA 1 MILLION. Imetumika 6 months. CALL 0719063544.
PS: Nilisahau kunotify jambo moja: in screen crack...hivyo robo ya screen sio Touch, nilienda kwenye duka flani la IT wakasema they can change a screen kwa laki 2 (maximum price). but sikuwahi kuona uhitaji, nimekuwa nikipiga nayo kazi hivyo hivyo (yaani Touch ni upande mmoja wa kushoto). so nimekuwa natumia Mouse just like any other Computers kwa upande wa Screen but capacity yake iko pale pale. IN THAT REGARDS, NTAOMBA LAKI 8, HIYO LAKI 2 KABADISLISHIE KIOO KAMA UTAONA KUNA HAJA YA KUTUMIA FULL-SCREEN TOUCHSCREEN. ova.