King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,625
- 68,546
Reg. No ni. T BL kuhusu exemption sielewi full ni na half ni ipi, lakini kwa ufupi ni msamaha wa kodi kwenye magari unaotolewa kwa watumishi wa umma (Import duty, Excise duty)
Ok nazani itakuwa imesajiliwa mwezi wa nane hadi wa 9 mwaka 2010! Full namaanisha msamaha 100% na Half namaanisha msamaha 50% na 50% unalipia wewe,kwa kodi za TRA kodi ni kama mil5.4 kwa verossa! Kwa 10.5m nakupa 13.5 bado ipo juu,si umeona mdau hapo kapost verossa safi silver ya 2002 kwa cif ya 6400(~9.6m bila kubageni) ukupiga kamongo hapo inaweza ikashuka hadi Usd 5,800