Hapo napingana na wewe betri haifanyi kamera kuwa ni nzuri au mbaya nimeona Canon,Nikon tena EOS /SLR zinatumia hizo batterry za AA rechargable na ni nzuri kupindukia,tuache kupotosha mamboSiri ya hizi Camera ni kwamba kama betri yake ni Lithium za kuchaji basi hiyo ni nzuri na inastahili hiyo bei. Lakini kama inatumia zile AA za dukani basi ni low quality product na hata kwa sh 100,000 bado itakuwa ghali
Mkuu hiz sony cyber shot wahuni wa kichina wamezidublicate sana,sasa ili angalau ujue unanunua sony cyber shot genuine lazima iwe na original rechargeble betri ya sony na ile flash card (memory card) lazima iwe ya sony kama utakuta mchanganyiko basi ujue ni zile zile za kutoka kwa wahuni wa mjomba Hu jin Tao.Hapo napingana na wewe betri haifanyi kamera kuwa ni nzuri au mbaya nimeona Canon,Nikon tena EOS /SLR zinatumia hizo batterry za AA rechargable na ni nzuri kupindukia,tuache kupotosha mambo
Hapo napingana na wewe betri haifanyi kamera kuwa ni nzuri au mbaya nimeona Canon,Nikon tena EOS /SLR zinatumia hizo batterry za AA rechargable na ni nzuri kupindukia,tuache kupotosha mambo
hapo kwenye red:
Wewe inaonesha ni kwa kiwango gani ni kilaza na upo kwa ajili ya kuponda, kwa taarifa yako betri za kuchaji zinauzwa sh. 20,000, so unaposema kama ni ya kucharge inastahili hiyo bei, na kama sio hata laki 1 ni ghali unamaana betri ya kuchaji inauzwa zaidi ya sh. 120,000. We kweli kilaza, shame on you.