mi nauza Toyota Corona Exiv ya mwaka 95..ipo kwenye hali nzuri sana..ina body nzuri,rangi ni dark grey metallic,,manual car,ac iko poa sana..........power window...etc..nipm au nipigie 0754 096818
Jamaa atajilani sana maana kaanzisha uzi halafu jamaa wengine wameingiza biashara balaa.
Ok, wote wana makosa yanayofanana hawasemi ni model gani ya gari, kama AE100, AE110 au 111!!!!!
Historia ya gari kama umeuzwa mara ngapi, rangi, kms mahali japokuwa wote wameweka namba za simu.
Ukitaka kuuza gari kivizuri zaidi zingatia haya!
Specifications
»Odometer ingawa zinarudishwa nyuma
»Engine size and type eg cc2000,D4 etc
»Colorearl white silver black etc
»Grade ya ghari:grade 5,grade 3 etc
Picha
»Weka Picha inayoonyesha sehemu za gari zote,engine,ndani,buti,tyres,na ubora wa rangi ya gari na kama kuna demage weka pia
Contacts na bei ya Mwisho ya kuuza! Haya mambo ya kusema nauza mil4.5 ila inazungumzika hayasaidii weka bei ambayo kama 4m baasi hyo hyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.