Nauza bajaj

Revolution

JF-Expert Member
Feb 28, 2008
791
551
Ndugu zangu,

Nauza Bajaj imetumika kwa mwaka mmoja. Ni nzima na inatembea. Rangi ya Blue. Document zote zipo. Bei ni 2.5 ml. Unaweza kuja na fundi wako kwa uhakiki zaidi.
 
Ndugu zangu,

Nauza Bajaj imetumika kwa mwaka mmoja. Ni nzima na inatembea. Rangi ya Blue. Document zote zipo. Bei ni 2.5 ml. Unaweza kuja na fundi wako kwa uhakiki zaidi. Simu: 0715551459.

Muro.
Asante mkuu...
 
Picha nitaipiga niiweke mkuu. Ni bajaj ya India 2 stroke. Iko makini.....
 
Ndugu zangu,

Nauza Bajaj imetumika kwa mwaka mmoja. Ni nzima na inatembea. Rangi ya Blue. Document zote zipo. Bei ni 2.5 ml. Unaweza kuja na fundi wako kwa uhakiki zaidi. Simu: 0715551459.

Muro.


Kuna mazungumzo kwenye bei au hapa ndio imegota.
 
Baba Muro, Kapicha ka Bajaj tunakaomba si unajua tena siku hizi tu redcard twingi mitaani.
 
Ndugu zangu,

Nauza Bajaj imetumika kwa mwaka mmoja. Ni nzima na inatembea. Rangi ya Blue. Document zote zipo. Bei ni 2.5 ml. Unaweza kuja na fundi wako kwa uhakiki zaidi. Simu: 0715551459.

Muro.

Na we ni miongoni mwa mafisadi wa bajaji za walemavu nini!
Punguza basi na bei bwana...
 
Picha nitaipiga niiweke mkuu. Ni bajaj ya India 2 stroke. Iko makini.....

Piga picha, u-upload kwenye internet then uweke URL between hizi codes

*


Ikishindikana nitumie Private MSG au PM

Good Luck,
B.
 
Hesabu yake ina range kati ya 90,000 mpaka 105,000 kwa wiki inategemea na maelewano na dereva wako lakini si chini ya 90,000 kwa wiki.!

Wakuu kumbe inalipa maana naskia Tax 70,000/= kwa wiki bajaj inalipa zaidi.
 
....Hesabu yake ina range kati ya 90,000 mpaka 105,000 kwa wiki inategemea na maelewano na dereva wako lakini si chini ya 90,000 kwa wiki......!

Sijui kwingine ila kule maeneo ya kwetu Tegeta hesabu ni buku 15 mpaka 20 inategemea na masharti na hali halisi ya kabajaji kenyewe.

Wakuu mbona tofauti kubwa hivyo?! Nadhani inabidi tuingie barabarani wenyewe tufanye huo utafiti.
 
Wakuu kumbe inalipa maana naskia Tax 70,000/= kwa wiki bajaj inalipa zaidi.

Uki taka kuangalia ipi ina faida zaidi kati ya bajaj na taxi kuna factors nyingi za kuzingatia. Kwa mfano oil consumption, maintenance na life expectancy ya vyombo hivyo. Nilisha wahi kusikia(sina uhakika0 kwa bajaj baada ya mwaka au miaka miwili inakua imechoka na kuhitajiservice ya mara kwa mara.
 
Mwanafalsafa,

Fanya research...ya kusikia yanaweza kumislead sometimes...Ni kweli inategemea factors nyingi kati ya taxi na bajaj lakini issue kubwa ni matunzo (nafikiri umeoversee hilo). Kama matunzo ni mabaya hata miezi sita inaweza isifike. Matunzo ni pamoja na kuzingatia service, kutopakiza mizigo mizito, kutembea umbali mrefu (kama kutoka nje ya jiji), kuendesha recklessly...,na nyingine nyingi.

Nafikiri nitakuwa nimekupatia falsafa ya kutosha.

Cheers!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom