manenge
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 279
- 17
Kuna dhana iliyopo kwa sasa hivi kwamba viongozi wengi wamekaa madarakani kwa muda mrefu na kuchukiwa. Hii inatokana na ukweli kwamba wengine wanashindwa kudeliver lakini wanang'ang'ania madaraka. Wengine mfono Museveni anafanya vitu vinaonekana kwenye nchi yake ndio maana anaendelea kushinda. Je nie mnaonaje hili?