Msukuma mmoja alikua anaumwa na kulazwa kwenye hospitali moja hivi. Siku moja rafiki yake akaenda kumtembelea kumpa pole. Wakati jamaa anafika akakuta mgonjwa ana kikombe cha uji anakunywa. Wakasalimiana, jamaa akawa anamfariji.
Mgonjwa: Nashukuru sana kwa kunitembeleaga huku hospitali.
Jamaa: Usijali rafiki yangu, Mungu atakusaidia utapona.
Mgonjwa: Asante sana, ila naumwaga. Yaan naumwaga kweli.
Jamaa: Usiumwage bwana, kama umeshindwa nipe tu ninywe mimi manake nina njaa.
...
Naumwaga - -> naumwa
...
...
Big up sana wazee wa kukandamizaga!
Mgonjwa: Nashukuru sana kwa kunitembeleaga huku hospitali.
Jamaa: Usijali rafiki yangu, Mungu atakusaidia utapona.
Mgonjwa: Asante sana, ila naumwaga. Yaan naumwaga kweli.
Jamaa: Usiumwage bwana, kama umeshindwa nipe tu ninywe mimi manake nina njaa.
...
Naumwaga - -> naumwa
...
...
Big up sana wazee wa kukandamizaga!